Karibu PyCon Tanzania

Kongamano la 2 la Kila Mwaka la Lugha ya Python.

Kwa wataalamu, wajasiriamali, wanasayansi na wanafunzi nchini Tanzania, iliyoandaliwa na jumuiya ya teknolojia ili kukuza ushirikiano na maendeleo ya teknolojia.

Wasemaji


Davis David

Davis David

Data Scientist
Selin Gungor

Selin Gungor

Machine Learning Engineer
Emmanuel P Mwanga

Emmanuel P Mwanga

Researcher
Philemon Mraushi

Philemon Mraushi

Engineering Student
Mahadia Tunga

Mahadia Tunga

Director Capacity Building
Gajendra Deshpande

Gajendra Deshpande

Assistant Professor
Zephania Reuben

Zephania Reuben

Founding Data Scientist
Tomasz Konieczny

Tomasz Konieczny

Senior QA Engineer
Mariano Páscoa Mugana

Mariano Páscoa Mugana

CS Student
Antony Mipawa

Antony Mipawa

Junior Data Scientist
Kalebu Gwalugano

Kalebu Gwalugano

Mechatronics Eng & Pythonista
Koketso K. Motseothata

Koketso K. Motseothata

Robotics & Game Developer
Mary Isamba

Mary Isamba

CyberSecurity Consultant
Logan Velvindron

Logan Velvindron

Infrastructure Engineer
Noah Maina

Noah Maina

Convener
CatherineRose Barretto

CatherineRose Barretto

Director

Programu Zitakazokuwepo


Siku ya Warsha

Warsha za mikono zilizoratibiwa za kuchunguza misingi ya lugha ya Python ambapo washiriki hujifunza kutoka kwa washauri.

Siku ya Mkutano

Mawasilisho mbalimbali ya muda wa dakika 25, ya kiufundi yaliyochaguliwa kupitia mchakato wa CfP unaohusiana na miradi inayotumia Lugha ya Python.

Mazungumzo Mafupi

Vikao ambapo watu hushiriki katika mijadala isiyo rasmi ili kuhimiza ushirikiano katika miradi mbalimbali inayohusiana na Python.

Mikutano ya Python

Matukio ya mara kwa mara ya kuleta pamoja Watumiaji wa Python ili kuongeza ushirikiano kati ya jamii ya lugha ya Python.

Mwongozo Wa Kusafiri Kipindi cha Covid-19

Tafadhali soma maelezo yafuatayo ili kupata maelezo zaidi kuhusu chanjo na majaribio