Karibu PyCon Tanzania

Kongamano la 3 la Kila Mwaka la Lugha ya Python.

Kwa wataalamu, wajasiriamali, wanasayansi na wanafunzi nchini Tanzania, iliyoandaliwa na jumuiya ya teknolojia ili kukuza ushirikiano na maendeleo ya teknolojia.

Wasemaji


Prof. Eliamani Sedayoke

Prof. Eliamani Sedayoke

Permanent Secretary - Ministry of Natural Resouces and Tourism
Mary Isamba

Mary Isamba

Cyber Security Consultant
Neema Rajabu

Neema Rajabu

Assistant Lecturer
Mustafa Saifuddin

Mustafa Saifuddin

Software Engineer
Martha Kamkuemah

Martha Kamkuemah

Graduate Student
Antony Mipawa

Antony Mipawa

Junior Data Scientist
Eliya Masesa

Eliya Masesa

Blockchain Developer
Zephania Reuben

Zephania Reuben

Software Engineer
Catherine Alex

Catherine Alex

UnderGrad Student
Lusajo Shitindi

Lusajo Shitindi

BlockChain Developer
Isack Odero

Isack Odero

Electrical Engineer
Leticia Nkulu

Leticia Nkulu

Tech Advisor

Programu Zitakazokuwepo


Siku ya Warsha

Warsha za mikono zilizoratibiwa za kuchunguza misingi ya lugha ya Python ambapo washiriki hujifunza kutoka kwa washauri.

Siku ya Mkutano

Mawasilisho mbalimbali ya muda wa dakika 25, ya kiufundi yaliyochaguliwa kupitia mchakato wa CfP unaohusiana na miradi inayotumia Lugha ya Python.

Mazungumzo Mafupi

Vikao ambapo watu hushiriki katika mijadala isiyo rasmi ili kuhimiza ushirikiano katika miradi mbalimbali inayohusiana na Python.

Mikutano ya Python

Matukio ya mara kwa mara ya kuleta pamoja Watumiaji wa Python ili kuongeza ushirikiano kati ya jamii ya lugha ya Python.

Mwongozo Wa Kusafiri Kipindi cha Covid-19

Tafadhali soma maelezo yafuatayo ili kupata maelezo zaidi kuhusu chanjo na majaribio